Jumatano, 14 Juni 2017

By Pastor Lameck
Does the Bible contradict itself?
Concerning Biblical numbers, genealogies, and dates it would be wise if both the casual and the analytical reader would consider them interesting, even fascinating events rather than crucial events requiring a higher level of precision than is evident in the Sciptures themselves. Leaving it at that, they could live at peace with their respective conclusions.
Yes, there are variations in scripture such as in specific numbers, in facts within stories, and in the words of Jesus. Let's take a look at those.
SPECIFIC VARIATIONS IN NUMBERS
Many question the number variations listed in Ezra 2 and Nehemiah 7. There is a slight difference in what was supposed to be two identical lists. Nehemiah's list was used nearly a century later to guide him in the resettlement of Jerusalem. Of the 42 numbers given by Ezra (v. 3-60), 18 differ from the corresponding numbers in Nehemiah 7. The differences are small, and can be explained by assuming that the lists were drawn up at different times, and that during the interval the population figures varied, owing to deaths and births, or for other reasons. There are also varying forms between the two lists that refer to certain individuals but that occurs throughout the Bible. This is particularly true in the New Testament when there are references to names in the Old Testament.
VARIATION - DEMON POSSESSED MEN
The question of the 2 demon possessed men of Matthew 8:28-34 versus the one man in Mark 5:1-20 is often disturbing to people. One Bible commentary tries to explain it in this fashion: "Matthew speaks of two men. Apparently, however, one was outstandingly fierce. Similarly, Matthew speaks of two blind men at Jericho (ch. 20:30), where Mark (ch. 10:46) and Luke (ch. 18:35) speak of but one, probably for some similar reason. It is worthy of note that Matthew, no doubt an eyewitness to both events, mentions two men in each instance."
VARIATIONS - CHRIST'S WORDS
In various places in the Gospels the writers report differently the words of Christ. They also give different accounts of certain matters, for example, the inscription on the cross. These variations have been seized upon by skeptics as proof that the Gospel writers are unreliable, even false, and thus certainly not inspired. A careful examination proves the opposite. Those who wrote the Gospels, along with the other followers of Christ, considered themselves witnesses of the events of our Lord's life. They staked everything on truthfulness of their witness.
These VARIATIONS indicate the TRUTH of the BIBLE
In a court today, if witnesses all testify precisely the same regarding an incident, the conclusion is, not that they are truthful, but that they are perjurers. Why? Because experience teaches us that no two people see an event exactly alike. One point impresses one witness; another point impresses another. Again, they may all have heard exactly the same words spoken in connection with the event, but each reports the words a little differently. One witness may even report certain parts of a conversation that the other witnesses do not report. But so long as there is no clear contradiction in the thought or meaning of the variant statements, the witnesses may be considered to have told the truth. Indeed, apparently contradictory statements may often prove to be not contradictory at all, but actually complementary.
All experience, and especially the experience of the courts through the long years, leads to the conclusion that truthful witnessing need not be - indeed, should not be - equated with carbon-copy identity of testimony of the different witnesses to an event, including their testimony as to what was said at the particular event.


By Pastor Lameck Stephen
Phone: 0784556460
ARUSHA TANZANIA

THE REALITY ABOUT CHRISTMASS(DECEMBER25)

THE REALITY ABOUT CHRISTMAS (DECEMBER 25)
The term "Christmas" is really an abbreviation of the Old English "Cristes mœsse" (Christ's Mass). Some people have criticized the use of the abbreviation "Xmas" because they think that it is a secular abbreviation of "Christmas." Actually, the word "Christ," which means Messiah or anointed one, is a Greek term. "X" stands for a Greek letter "chi" equivalent to the first two letters in the English word "Christ."
December 25th is not the actual anniversary of Yeshua of Nazareth's (Jesus Christ's) birthday. A few theologians and religious historians believe that Jesus never existed. In that case, he would not have had an actual birth day. However, the vast majority of people believe that he did exist. However, according to references in the Bible, it seems that he was born sometime in the fall.
Ancient people observed the daylight hours gradually shortening starting at the Summer Solstice, when the daylight hours are at their yearly maximum. They feared that the daylight hours might continue to shorten and perhaps reach zero. That would be an absolute disaster, because there would be no growing season during the next year. People would starve. So they held rituals about the time of the Winter Solstice -- the shortest daytime of the year -- to encourage the return of longer daytime hours. Since they lacked precision astronomical equipment, they were only able to figure out about DEC-25 that the Solstice had passed and the daytime hours were getting longer. So they picked DEC-25 as the solstice.
The Roman Saturnalia was one of the the wildest of these celebrations at this time of year. Numerous Pagan and other religions had DEC-25 as the birth date of their god. Christianity adopted and renamed Saturnalia as the birthday of Jesus, and the rest is history.
At the time, the Catholic Church had a policy of converting Pagan holidays into Christian holidays on the same day. Similarly, they often recycled Pagan temples and other worship sites as Christian buldings and locations. At the time, the public was already familiar with celebrating a Pagan holy day at that time of the year. It made their transition to Christianity easier to have a Christian holy day at the same time.
Thus, the original reason for the season is the Winter Solstice about DEC-21. This is caused by the 23.5º tilt of the earth's rotation axis relative to its path around the sun that produces the seasons.
DURING WHAT YEAR WAS JESUS BORN?
The year of Christ's birth is unknown. The only available evidence relating to his birth is contained within the 40 or so gospels written by the early Christian movement. Of these, the four that made it into the official canon of the Christian Scriptures (New Testament), are most often cited -- Matthew and Luke, chapters 1 & 2. People have tried to approximate the time of Jesus' birth using various clues:
References to political leaders: Luke 1:5 states that Jesus was born when Herod was King of Judea. Luke 2:2 states that Jesus was born when Cyrenius (a.k.a. Quirinius) was also governor of Syria. Unfortunately, this appears to be an impossibility. The historical record shows that Herod was king from 37 until his death in 4 BCE. (A few scholars say 5 BCE). Quirinius was not governor of Syria at any time during this period. He came to power in 6 CE, a decade after Herod died. 1 Some biblical literalists have suggested that the two Gospels can be harmonized if Quirinius was governor during two separate intervals. There is no historical evidence to support this; however, it is often taught as truth.
Census/taxation: Luke 2:1-4 mentions that Jesus' birth occurred during the time that Caesar Augustus had ordered all of the known world to be taxed. Luke said that every person had to return to the city of his ancestors, to be registered and taxed. Joseph went to Bethlehem, because he was of the house and lineage of David. But it is probable that this universal census and tax never actually happened. The Jewish historian Josephus wrote a very complete history of the Jews in Palestine. He does mention a census which was conducted in Judea in 6 CE. But this was only a local census, not one that would enable "all the world to be taxed." Its purpose was to count the male population so that they could be taxed at a later time. And it triggered a major uprising among the Jews, who regarded a census as against scripture and the will of God. He does not refer to an earlier census and poll tax.
At the time of Jesus' birth, the Jews were still subject to King Herod. Since Palestine was a client kingdom of Rome, only the king had powers of taxation in the land. 2 It was only in areas that were operated under direct Roman rule that Caesar Augustus could have taxed the citizens directly.
There is no record of a mass migration of adults to their ancestral cities in order to be registered. It would have been totally impractical to hold a census in this way. The primitive transportation systems of the Roman Empire would have been totally inadequate to handle the flow of people. The entire empire would be largely shut down for many months while people were returning to their home towns. Even today, with airplanes, trains, busses and automobiles, it would not be practical to hold a census in this manner.
Herod's "slaughter of the innocents:" Matthew 2:16 describes King Herod's order that all of the boy infants who had not reached their second birthday in Bethlehem and vicinity were to be murdered. The date of that mass murder would give an approximate idea of Jesus' birth. Unfortunately for historians (and fortunately for the residents of the Bethlehem area) the killings never appeared to have happened. If the children were killed, then historians of the era would have been certain to have recorded the event. No such record exists. Josephus wrote in great detail about even minor actions and decisions of Herod. The mass murder was never mentioned.
Our present method of dates, which divide the past into AD (anno domine, the year of the Lord) and BC (before Christ), was established by Dionysius Exiguus in the 6th century. Exiguus was a Christian monk whose name translates into English as "Denny the Dwarf."
As the calendar has been more generally accepted among people of many religions, the terms AD and BC have been largely superseded in religious and academic books by: CE (common era) and BCE (before the common era).
The best guess of most Biblical scholars is that Jesus was born between 7 and 4 BCE. Recently, a new suggestion of 1 BC has been put forth. So perhaps Denny was not as far off in his calculations as people have believed. 3
The 2000th anniversary of the birth of Jesus would appear to have already passed. Marcus Borg organized and hosted the "Jesus at 2000" seminar on the life of Jesus. It was held on 1996-FEB-8 to 10, the approximate date of the 2000th anniversary of Jesus' birth.
The historical "reason for the season," for many of these celebrations can be indirectly traced back to the 23.5º tilt of the earth's rotation axis relative to the plane of the ecliptic, as shown below.
The earth spins like a gyroscope or a child's toy top. It constantly points to the same region far out in the universe.
1
The seasons are not caused by the earth getting closer or farther away from the sun, as many people believe. It is caused by this 23.5º tilt. As the earth travels around the sun, the density of the sun's rays differs between the Northern and Southern hemispheres. In early December of each year, the sun is very low in the northern sky, and very high in the southern sky. This produces winter in the north and summer in the south. In the northern hemisphere, the daylight hours shorten each day and the nighttime lengthens.
1
On or about DEC-21, the daytime is at a minimum and the nighttime is at a maximum. This is the winter solstice. Humans living millennia ago were far more aware of the shortening day, an apparent pause, and then a gradual lengthening of the daylight hours in late December. Living in a pre-scientific era, many cultures were terrified that the daylight interval would continue to shorten, causing an end to life on Earth. So the winter solstice or the days immediately following the solstice were a time of great celebration. Ancient faiths attributed a major religious theme to the solstice: it was a time of the birth of a new God to replace the old, dying deity. Implicit in this is the hope for a new warm season and a return to the earth's fertility.
horizontal rule
The historical origins of religious observances in December:
The celebrations of various religions are tied directly or indirectly to the earth's tilt on its axis:
bullet Wiccans, and other Neopagans celebrate Yule, which is their name for the Winter Solstice.
bullet The American Atheists and local Atheist groups have chosen to have celebrations on the solstice which they call by various names: the Great North Texas Infidel Bash, the Winter Solstice bash, the Winter Solstice Parties, etc. Again, their day is tied to the solstice
bullet Nova Romans, celebrate Saturnalia, an ancient Roman holiday. This was the Festival of Saturn which was gradually extended in duration until it became a seven day observance from DEC-17 to 23 each year. The Romans decorated living trees outside their homes, and hung garlands, wreathes and other decorations on their doorways, windows, and stairs. It was also observed at the winter solstice. 2
bullet Ancient Rome: In the religious melting pot which was the Mediterranean in ancient times, there were many celebrations of the births of saviors at this season:
bullet The ancient Roman Pagan religion celebrated the birth of one of their Gods, Attis, in December of each year. Attis was born of the virgin Nana. He was sacrificed as an adult in order to bring salvation to mankind. He died about MAR-25, after being crucified on a tree, and descended for three days into the underworld. On Sunday, he arose, "as the solar deity for the new season." 5 His followers tied an image of Attis to a tree on "Black Friday," and carried him in a procession to the temple. His body was symbolically eaten by his followers in the form of bread. Worship of Attis began in Rome circa 200 BCE.
bullet The Babylonians celebrated their "Victory of the Sun-God" Festival on DEC-25.
bullet The followers of the Pagan mystery religion Mithraism observed the birth of the savior Mithra, the "Deus sol invictus" ("unconquered sun"). Their God was believed to have been born on DEC-25, circa 500 BCE. His birth was witnessed by shepherds and by gift-carrying Magi. This date was celebrated as the "Dies Natalis Solic Invite," The "Birthday of the Unconquered Sun" each year. Some followers believed that he was born of a virgin. During his life, he performed many miracles, cured many illnesses, and cast out devils. He celebrated a Last Supper with his 12 disciples. He ascended to heaven at the time of the spring equinox, about March 21.
The Roman Emperor Aurelian (circa 214-275 CE) blended Saturnalia with a number of birth celebrations of savior Gods from other religions, into a single holy day: DEC-25. At the time, the various Christian movements were not recognized as legitimate religions. They were subject to intermittent oppression. This new holy day partially lost its close connection to the Winter Solstice.
bullet Christianity: By the third century CE the main surviving Christian movement who were spiritual descendents of the first century CE Pauline Christians, had forgotten Yeshua of Nazareth's (Jesus Christ's) birth day. An anonymous third century document "The DePascha Computus," "placed Jesus birth on March 28. Clement, a bishop of Alexandria (d. ca. 215 CE), thought Jesus was born on November 18." 3 After much argument, the developing Christian church adopted the Pagan Emperor Aurelian's date as the birthday of their savior.
Since the people of the Roman Empire were accustomed to celebrating the birth of various Gods on that day, it was easy for the church to divert people's attention to Jesus' birth. The earliest Christmas holidays were celebrated in the same way as Saturnalia. They involved drinking, sexual indulgence, and singing naked in the streets. These practices have long since been abandoned, although naked singing evolved into modern caroling. According to the Judaism Online web site: "Some of the most depraved customs of the Saturnalia carnival were intentionally revived by the Catholic Church in 1466 when Pope Paul II, for the amusement of his Roman citizens, forced Jews to race naked through the streets of the city." 

By Pastor Lameck J. Stephen
Phone 0784556460
Zion harvest gospel mission church  of Tanzania
Arusha  City.

UTATU MTAKATIFU

SOMO:- Utatu Mtakatifu
Pr. Lameck Stephen

Maana: Fundisho kuu la dini za Jumuiya ya Wakristo. Kulingana na Imani ya Athanasia, kuna Watu watatu wa kimungu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu), inasemekana kwamba kila mmoja ni wa milele, kila mmoja ni mweza-yote, hakuna aliye mkubwa au mdogo kuliko mwingine, kila mmoja ni Mungu, na hata hivyo wote pamoja ni Mungu mmoja tu. Maelezo mengine kuhusu fundisho hilo hukazia kwamba hao “Watu” watatu si watu mbalimbali bali ni maumbo matatu ambayo Mungu hukaa ndani yake. Kwa hiyo Wana-Utatu fulani hukazia imani yao kwamba Yesu Kristo ni Mungu, au kwamba Yesu na Roho Mtakatifu ni Yehova. Hilo si fundisho la Biblia.
Fundisho la Utatu lilitoka wapi?
The New Encyclopædia Britannica husema: “Neno Utatu, wala fundisho la wazi kama hilo, halipatikani katika Agano Jipya, wala Yesu na wafuasi wake hawakukusudia kupinga ile Shema katika Agano la Kale: ‘Sikiliza, Ee Israeli; BWANA, Mungu wetu, BWANA, ndiye mmoja’ (Kum. 6:4). . . . Fundisho hilo lilisitawi hatua kwa hatua kwa muda wa karne kadhaa na kupitia mabishano mengi. . . . Kufikia mwisho wa karne ya 4 . . . fundisho la Utatu likawa jinsi lilivyo leo hii.”—(1976), Micropædia, Buku la 10, uku. 126.
New Catholic Encyclopedia hueleza hivi: “Maneno ‘Mungu mmoja katika Watu watatu’ hayakuthibitishwa imara, nayo hayakuwa sehemu kamili ya maisha ya Wakristo na imani yao, kabla ya mwisho wa karne ya 4. Lakini ni maneno hayo hasa ambayo yalianza kuitwa kwanza fundisho la Utatu. Kati ya Mababa wa Kimitume, hakukuwa na jambo lolote linalokaribia hata kidogo mawazo au maoni hayo.”—(1967), Buku la 14, uku. 299.
Katika The Encyclopedia Americana tunasoma hivi: “Ukristo ulitokana na dini ya Kiyahudi na dini ya Kiyahudi iliamini kabisa Umoja [waliamini kwamba Mungu ni mtu mmoja tu]. Imani ya Utatu ya karne ya nne haikuonyesha kwa usahihi fundisho la kwanza la Kikristo kuhusu umbo la Mungu; badala ya hivyo, ilikuwa imepotoka kutoka katika fundisho hili.”—(1956), Buku la 27, uku. 294L.

Kulingana na kichapo Nouveau Dictionnaire Universel, “Utatu wa Plato, ambao wenyewe ulikuwa ni kupangwa upya tu kwa miungu mitatu-mitatu ya watu wa zamani, unaonekana kuwa ndio utatu unaopatana na akili ya kifalsafa ya sifa zilizotokeza yale maumbo matatu au watu wa kimungu ambao makanisa ya Kikristo hufundisha. . . . Wazo hili la mwanafalsafa Mgiriki [Plato, karne ya nne K.W.K.] la utatu wa kimungu . . . linapatikana katika dini zote za kale [za kipagani].”—(Paris, 1865-1870), kilichohaririwa na M. Lachâtre, Buku la 2, uku. 1467.

John L. McKenzie, S.J., katika kitabu chake Dictionary of the Bible, anasema: “Utatu wa watu katika umoja wa asili hufafanuliwa katika maneno ya ‘mtu’ na ‘asili’ ambayo ni maneno ya kifalsafa ya Kigiriki; kwa hakika maneno hayo hayapatikani katika Biblia. Mafafanuzi ya utatu yalitokana na mabishano ya muda mrefu ambapo maneno hayo na mengine kama vile ‘asili iliyoko ya vitu vyote’ na ‘asili kuu,’ yalitumiwa kimakosa na wanatheolojia fulani kumhusu Mungu.”—(New York, 1965), uku. 899.
Hata ingawa, kama vile Wana-Utatu wanavyokubali, neno “Utatu” wala fundisho la Utatu halipatikani katika Biblia, je, mawazo yanayotiwa katika fundisho hilo yanapatikana humo?

Je, Biblia hufundisha kwamba “Roho Mtakatifu” ni mtu?
Maandiko fulani yanayotaja roho takatifu (“Roho Mtakatifu,” UV) huenda yakaonekana kumaanisha mtu. Kwa mfano, roho takatifu huitwa msaidizi (Kigiriki, pa·raʹkle·tos; “Mtulizaji,” VB) ambaye ‘hufundisha,’ ‘hutoa ushahidi,’ ‘husema’ na ‘husikia.’ (Yoh. 14:16, 17, 26; 15:26; 16:13) Lakini maandiko mengine husema kwamba watu ‘walijazwa’ roho takatifu, kwamba wengine ‘walibatizwa’ nayo au ‘walipakwa mafuta’ nayo. 
(Luka 1:41; Mt. 3:11; Mdo. 10:38) Bila shaka maandiko hayo ya mwisho yanayoitaja roho hayawezi kurejelea mtu. Ili kuelewa yale ambayo Biblia hufundisha kwa ujumla, ni lazima maandiko hayo yote yafikiriwe. Ni jambo gani linalopatana na akili? Kwamba maandiko ya kwanza yaliyotajwa hapa yanatumia maneno ya mfano, yanayoifanya roho takatifu ya Mungu au nguvu zake za utendaji, zionekane kuwa kama mtu. Biblia hufanya vivyo hivyo kuhusu maneno kama vile hekima, dhambi, kifo, maji, na damu. 
(Ona pia ukurasa wa 242, 243, chini ya kichwa “Roho.”)
Maandiko Matakatifu hutuambia jina la Baba—Yehova. Yanatuambia kwamba Mwana ni Yesu Kristo. Lakini hakuna popote katika Maandiko ambapo jina la kibinafsi linatumiwa kuhusu roho takatifu.
Andiko la Matendo 7:55, 56 husema kwamba Stefano alionyeshwa maono ya mbinguni ambapo alimwona “Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume wa Mungu.” Lakini yeye hakusema lolote kuhusu kuiona roho takatifu. (Ona pia Ufunuo 7:10; 22:1, 3.)

New Catholic Encyclopedia hukubali hivi: “Maandiko mengi ya A[gano] J[ipya] huonyesha roho ya Mungu kuwa kitu, wala si mtu; jambo hilo linaonekana hasa kutokana na ulinganifu uliopo kati ya roho na nguvu za Mungu.” (1967, Buku la 13, uku. 575) Pia inasema hivi: “Watetea-Imani [waandikaji Wakristo wa Kigiriki wa karne ya pili] walisema kwa kusita-sita mno juu ya Roho; kwa kufikiria mambo yaliyotukia baadaye, mtu anaweza kusema kwamba walisema bila kuonyesha ni mtu.”—Buku la 14, uku. 296.
Je, Biblia inakubaliana na wale wanaofundisha kwamba Baba na Mwana si watu tofauti?
Mt. 26:39, UV: “Akaendelea mbele kidogo, [Yesu Kristo] akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; lakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.” (Ikiwa Baba na Mwana hawangekuwa watu tofauti, sala hiyo haingekuwa na maana. Yesu angekuwa akisali kwake mwenyewe, na mapenzi yake lazima yangekuwa mapenzi ya Baba.)
Yoh. 8:17, 18, UV: “[Yesu akawajibu Mafarisayo Wayahudi:] Katika torati yenu imeandikwa kwamba, Ushuhuda wa watu wawili ni kweli. Mimi ndimi ninayejishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenipeleka ananishuhudia.” (Kwa hiyo, kwa wazi Yesu alisema kwamba yeye mwenyewe ni mtu aliye tofauti na Baba.)

Ona pia ukurasa wa 426, 427, chini ya kichwa “Yehova.”
Je, Biblia hufundisha kwamba wote wanaosemekana kuwa sehemu ya Utatu ni wa milele, hakuna aliye na mwanzo?
Kol. 1:15, 16, UV: “Naye [Yesu Kristo] ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi.” Yesu Kristo ni “mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote” kwa njia gani?
 (1) Wana-Utatu husema kwamba hapa “mzaliwa wa kwanza” humaanisha mkuu, mwenye utukufu zaidi, mashuhuri zaidi; kwa hiyo Kristo angeeleweka kuwa, si sehemu ya viumbe, bali aliye mashuhuri zaidi akilinganishwa na wale walioumbwa. Ikiwa ndivyo, na ikiwa fundisho la Utatu ni la kweli, kwa nini Baba na roho takatifu pia hawasemwi kuwa mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote? Lakini Biblia hutumia maneno hayo kumhusu Mwana peke yake. Kulingana na maana ya kawaida ya maneno “mzaliwa wa kwanza,” hayo humaanisha kwamba Yesu ndiye wa kwanza katika familia ya wana wa Yehova.
 (2) Kabla ya Wakolosai 1:15, maneno haya “mzaliwa wa kwanza wa” huonekana mara nyingi katika Biblia, na kila mahali yanapotumiwa kuhusu viumbe hai yanakuwa na maana ileile—mzaliwa wa kwanza ni sehemu ya kikundi. “Mzaliwa wa kwanza wa Israeli” ni mmoja wa wana wa Israeli; “mzaliwa wa kwanza wa Farao” ni mmoja wa familia ya Farao; “mzaliwa wa kwanza wa mnyama” yeye mwenyewe ni mnyama pia. Ni nini, basi, kinachowafanya wengine waseme kwamba maneno hayo yana maana tofauti katika Wakolosai 1:15? Je, ni kutokana na matumizi ya Biblia au ni imani ambazo tayari wanashikilia na ambazo wanajaribu kuthibitisha?
 (3) Je, andiko la Wakolosai 1:16, 17 (UV) linamwondoa Yesu katika vitu vilivyoumbwa, linaposema “katika yeye vitu vyote viliumbwa . . . vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake”? Neno la Kigiriki linalotafsiriwa hapa “vitu vyote” ni panʹta, namna fulani ya neno pas. Katika Luka 13:2, VB na NAJ hutafsiri “wengine wote”; BHN husema “wengine.” (Ona pia Luka 21:29 katika UV na Wafilipi 2:21 katika NAJ na BHN.) Kupatana na mambo mengine yote ambayo Biblia inasema kumhusu Mwana, NW hutoa maana ileile kwa neno panʹta katika Wakolosai 1:16, 17 hivi kwamba husema, kwa sehemu, “kwa njia yake vitu vingine vyote viliumbwa . . . Vitu vingine vyote vimeumbwa kupitia yeye na kwa ajili yake.” Kwa hiyo inaonyeshwa kwamba yeye ni kitu kilichoumbwa, sehemu ya vitu ambavyo Mungu aliviumba.

Ufu. 1:1; 3:14, UV: “Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu . . . Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo [Kigiriki, ar·kheʹ] wa kuumba kwa Mungu.” (VB, ZSB, na NW, na nyinginezo pia, husema vivyo hivyo.) Je, tafsiri hiyo ni sahihi? Wengine wana maoni kwamba kinachomaanishwa ni kwamba Mwana alikuwa ‘mwanzilishi wa uumbaji wa Mungu,’ kwamba ndiye aliyekuwa ‘chanzo kikuu’ cha uumbaji huo. Lakini kamusi ya Liddell na Scott Greek-English Lexicon huorodhesha “mwanzo” kuwa maana ya kwanza ya neno ar·kheʹ. (Oxford, 1968, uku. 252) Uamuzi unaopatana na akili ni kwamba yule anayenukuliwa katika andiko la Ufunuo 3:14 ni kiumbe, wa kwanza kati ya viumbe vya Mungu, kwamba yeye alikuwa na mwanzo. (Linganisha na andiko la Methali 8:22, ambapo, kama waelezaji wengi wa Biblia wanavyokubali, Mwana anatajwa kuwa hekima iliyo kama mtu. Kulingana na VB na BHN, yule anayesema hapo anasemwa kuwa ‘aliumbwa.’)

Andiko la Mika 5:2 (UV) linamtaja Masihi kinabii kwa kusema “ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele.” Je, hilo linamfanya yeye kuwa sawa na Mungu? Inastahili kuangaliwa kwamba, badala ya kusema “tangu milele,” BHN (5:1) hutafsiri Kiebrania kama “zama za kale”; VB (5:1), “siku za kale na kale”; NW, “siku za wakati usio na kipimo.” Andiko la Mika 5:2 likitazamwa kwa kufikiria andiko la Ufunuo 3:14, lililozungumziwa juu, halithibitishi kwamba Yesu hakuwa na mwanzo.
Je, Biblia hufundisha kwamba kati ya wale wanaosemekana kuwa ni sehemu ya Utatu, hakuna mmoja ambaye ni mkubwa au mdogo kuliko mwingine, kwamba wote wanalingana, kwamba wote ni wenye nguvu zote?

Marko 13:32, UV: “Habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba.” (Bila shaka, hilo halingekuwa hivyo ikiwa Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu wote wangekuwa wanalingana, wakiwa Mungu mmoja. Na ikiwa, kama vile wengine wanavyopendekeza, kwa sababu ya hali yake ya kuwa mwanadamu Mwana hakujua, swali hili linabaki, Kwa nini Roho Mtakatifu hakujua?)

Mt. 20:20-23, UV: “Mama yao wana wa Zebedayo . . . akamwambia [Yesu], Agiza kwamba hawa wanangu wawili waketi mmoja mkono wako wa kuume, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika ufalme wako. Yesu akajibu, . . . Hakika mtakinywea kikombe changu; lakini kuketi mkono wangu wa kuume na mkono wangu wa kushoto, sina amri kuwapa, bali watapewa waliowekewa tayari na Baba yangu.” (Kama Yesu ni Mungu, kama inavyodaiwa, hilo lingekuwa la kushangaza kama nini! Je, hapa Yesu alikuwa akijibu tu kulingana na ‘asili yake ya kibinadamu’? Ikiwa, kama wanavyosema Wana-Utatu, Yesu alikuwa “Mungu-mwanadamu” kikweli—akiwa Mungu na pia mwanadamu, si mmoja wala mwingine—je, kweli lingekuwa jambo linalopatana kutumia maelezo hayo? Je, andiko la Mathayo 20:23 halionyeshi kwamba Mwana halingani na Baba, kwamba Baba amejiwekea haki fulani?)

Mt. 12:31, 32, UV: “Kila dhambi na kila neno la kufuru watasamehewa wanadamu, ila kumkufuru Roho hawatasamehewa. Naye mtu yeyote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.” (Ikiwa Roho Mtakatifu ni Mungu, andiko hilo lingepinga kabisa fundisho la Utatu, kwa sababu ingemaanisha kwamba kwa njia fulani Roho Mtakatifu ni mkuu kuliko Mwana. Badala yake, yale ambayo Yesu alisema yanaonyesha kwamba Baba, ambaye ndiye mwenye “Roho,” ni mkuu kuliko Yesu, Mwana wa binadamu.)

Yoh. 14:28, UV: “[Yesu akasema:] Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.”
1 Kor. 11:3, UV: “Nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa na mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.” (Kwa wazi, basi, Kristo si Mungu, na Mungu ana cheo kikuu kuliko Kristo. Kumbuka kwamba maneno hayo yaliandikwa karibu mwaka wa 55 W.K., miaka 22 hivi baada ya Yesu kurudi mbinguni. Kwa hiyo ukweli unaoelezwa hapa unahusu uhusiano uliopo kati ya Mungu na Kristo mbinguni.)

1 Kor. 15:27, 28, UV: “[Mungu] alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake [ya Yesu]. Lakini atakaposema, Vyote vimetiishwa, ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hayumo. Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.”
Neno la Kiebrania Shad·daiʹ na neno la Kigiriki Pan·to·kraʹtor yote mawili hutafsiriwa “Mweza-Yote.” Maneno yote mawili ya lugha za kwanza yanatumiwa tena na tena kumhusu Yehova, Baba. (Kut. 6:3; Ufu. 19:6) Kati ya maneno hayo, hakuna kamwe linalotumiwa kumhusu Mwana wala roho takatifu.
Je, Biblia hufundisha kwamba kila mmoja wa wale wanaosemwa kuwa sehemu ya Utatu ni Mungu?
Yesu alisema hivi katika sala
: “Baba, . . . uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.” (Yoh. 17:1-3, UV; italiki zimeongezwa.) (Tafsiri nyingi hapa hutumia maneno “Mungu wa pekee wa kweli” kumhusu Baba. NAJ husema: “ambaye pekee ni Mungu wa kweli.” Hawezi kuwa “Mungu wa pekee wa kweli,” “ambaye pekee ni Mungu wa kweli,” ikiwa kuna wengine wawili ambao ni Mungu kwa kiwango kilekile kama yeye, sivyo? Wengine wowote wanaoitwa “miungu” lazima wawe wa uwongo au mrudisho tu wa utukufu wa Mungu wa kweli.)

1 Kor. 8:5, 6, UV: “Ijapokuwa wako waitwao miungu, ama mbinguni ama duniani, kama vile walivyoko miungu mingi na mabwana wengi; lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo.” (Andiko humwonyesha Baba kuwa ‘Mungu mmoja’ wa Wakristo na akiwa katika daraja tofauti na Yesu Kristo.)

1 Pet. 1:3, UV: “Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.” (Tena na tena, hata baada ya Yesu kupanda mbinguni, Maandiko yanamwita Baba “Mungu” wa Yesu Kristo. Katika andiko la Yohana 20:17, baada ya Yesu kufufuliwa, yeye mwenyewe alimwita Baba kuwa “Mungu wangu.” Baadaye, akiwa mbinguni, kama ilivyoandikwa katika Ufunuo 3:12, tena alitumia maneno hayohayo. Lakini hakuna mahali popote kamwe katika Biblia ambapo inasemekana Baba anamwita Mwana “Mungu wangu,” wala Baba au Mwana hawaiiti roho takatifu “Mungu wangu.”)

Ili kupata maelezo kuhusu maandiko ambayo watu fulani hutumia wakijaribu kuthibitisha kwamba Kristo ni Mungu, ona ukurasa wa 430-434, chini ya kichwa “Yesu Kristo.”
Katika Theological Investigations, Karl Rahner, S.J., hukubali hivi: “Neno Θεός [Mungu] halitumiwi kamwe kuhusu Roho,” na: neno “ὁ θεός [kihalisi, yule Mungu] halitumiwi kamwe katika Agano Jipya kusema kuhusu [roho takatifu].”—(Baltimore, Md.; 1961), kilichotafsiriwa kutoka Kijerumani, Buku la 1, uku. 138, 143.
Kati ya maandiko yanayotumiwa na Wana-Utatu ili kuunga mkono imani yao, je, lolote lina msingi imara kwa fundisho hilo?
Mtu ambaye kwa kweli anatafuta kujua kweli kumhusu Mungu hatachunguza Biblia akitumaini kupata andiko ambalo atalielewa kuwa linafaa yale ambayo tayari anaamini. Yeye hutaka kujua mambo ambayo Neno la Mungu lenyewe husema. Huenda akaona maandiko fulani anayohisi yanaweza kueleweka kwa njia kadhaa, lakini hayo yanapolinganishwa na maandiko mengine ya Biblia kuhusu habari hizohizo, maana yake itakuwa wazi. Kumbuka mapema kwamba maandiko mengi yanayotumiwa “kuthibitisha” Utatu kwa kweli yanataja watu wawili tu, wala si watatu; kwa hiyo hata ikiwa maelezo ya Wana-Utatu kuhusu maandiko hayo yangekuwa sahihi, hayo hayangethibitisha kwamba Biblia hufundisha Utatu. Fikiria mambo yafuatayo:
(Isipokuwa imeonyeshwa vingine, maandiko yote yaliyonukuliwa katika sehemu inayofuata yanatoka katika UV.)
Maandiko ambayo jina linalomhusu Yehova linatumiwa kumhusu Yesu Kristo au linadaiwa kwamba linamhusu Yesu
Alfa na Omega: Majina hayo ni ya nani? (1) Katika andiko la Ufunuo 1:8, inasemwa mwenyewe ni Mungu, Mweza-Yote. Katika mstari wa 11 kulingana na ZSB, majina hayo yanatumika kumhusu yule ambaye maelezo yanayofuata yanaonyesha kuwa ni Yesu Kristo. Lakini wasomi wanatambua kwamba mtajo wa majina Alfa na Omega katika mstari wa 11 ni wa uwongo, na kwa hiyo majina hayo katika mstari huo hayapatikani katika UV, BHN, NAJ, VB. (2) Tafsiri nyingi za Ufunuo katika Kiebrania zinatambua kwamba yule anayesimuliwa katika mstari wa 8 ni Yehova, na kwa hiyo zinarudisha jina la Mungu hapo.
 Ona NW, chapa ya Marejeo ya 1984. (3) Andiko la Ufunuo 21:6, 7 huonyesha kwamba Wakristo ambao wanapata ushindi kiroho watakuwa ‘wana’ wa yule anayeitwa Alfa na Omega. Hilo halisemwi kamwe kuhusu uhusiano kati ya Wakristo watiwa-mafuta na Yesu Kristo. Yesu aliwaita ‘ndugu’ zake. (Ebr. 2:11; Mt. 12:50; 25:40) Lakini hao ‘ndugu’ za Yesu wanaitwa “wana wa Mungu.” (Gal. 3:26; 4:6)
 (4) Katika andiko la Ufunuo 22:12, BHN hutia ndani jina Yesu, kwa hiyo mtajo wa Alfa na Omega katika mstari wa 13 huonekana kana kwamba unamhusu yeye. Lakini katika Kigiriki, jina Yesu halionekani katika mstari huo, na tafsiri nyingine hazilitii ndani.
 (5) Katika andiko la Ufunuo 22:13, Alfa na Omega pia anasemwa kuwa “wa kwanza na wa mwisho,” maneno yanayotumiwa kumhusu Yesu katika Ufunuo 1:17, 18. Vivyo hivyo, neno “mtume” linatumiwa kumhusu Yesu Kristo na pia baadhi ya wafuasi wake. Lakini je, hilo linathibitisha kwamba wao ni mtu yuleyule au wana cheo kinacholingana? (Ebr. 3:1) Kwa hiyo uthibitisho unaonyesha kwamba majina “Alfa na Omega” yanamhusu Mungu Mweza-Yote, ambaye ni Baba, wala si Mwana.

Mwokozi: Tena na tena, Maandiko yanamwita Mungu kuwa Mwokozi. Katika Isaya 43:11 Mungu hata husema: “Zaidi yangu mimi hapana mwokozi.” Kwa kuwa Yesu pia anaitwa Mwokozi, je, Mungu na Yesu ni mtu mmoja? Sivyo kabisa. Tito 1:3, 4 husema kuhusu “Mwokozi wetu Mungu,” na kisha kuhusu wote wawili “Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Mwokozi wetu.” Kwa hiyo, hao watu wawili ni waokozi. Andiko la Yuda 25 linaonyesha uhusiano huo, likisema, “Mungu pekee, Mwokozi wetu kwa Yesu Kristo Bwana wetu.” (Italiki zimeongezwa.)
 (Ona pia Matendo 13:23.) Katika andiko la Waamuzi 3:9, neno lilelile la Kiebrania (moh·shiʹa, lililotafsiriwa “mwokozi” au “mkombozi”) linalotumiwa katika Isaya 43:11 limetumiwa kumhusu Othnieli, mwamuzi katika Israeli, lakini je, hilo lilimfanya Othnieli awe Yehova? Kusoma Isaya 43:1-12 kunaonyesha kwamba mstari wa 11 humaanisha kwamba Yehova pekee Ndiye aliyeandaa wokovu, au ukombozi, kwa ajili ya Israeli; wokovu huo haukuja kutoka kwa yeyote kati ya miungu ya mataifa jirani.
Mungu: Katika andiko la Isaya 43:10 Yehova anasema:
 “Kabla yangu hakuumbwa Mungu awaye yote, wala baada yangu mimi hatakuwapo mwingine.” Je, hilo linamaanisha kwamba, kwa sababu katika unabii Yesu Kristo anaitwa “Mungu mwenye nguvu” katika Isaya 9:6, ni lazima Yesu awe Yehova? Tena, muktadha unajibu, Hapana! Hakuna lolote la mataifa yenye kuabudu sanamu yaliyofanyiza mungu kabla ya Yehova, kwa sababu hakuna yeyote aliyekuwako kabla ya Yehova. Wala hawangeweza kufanyiza mungu yeyote halisi wakati ujao, ambaye angeweza kutoa unabii. (Isa. 46:9, 10) Lakini hilo halimaanishi kwamba Yehova hakufanyiza kamwe yeyote ambaye kwa kufaa anatajwa kuwa mungu. (Zab. 82:1, 6; Yoh. 1, 1, NW) Katika andiko la Isaya 10:21 Yehova anaitwa “Mungu, aliye mwenye nguvu” kama vile Yesu anavyoitwa katika Isaya 9:6; lakini ni Yehova pekee anayeitwa “Mungu Mwenyezi.”—Mwa. 17:1.

Ikiwa jina fulani au fungu fulani la maneno linapatikana zaidi ya mahali pamoja katika Maandiko, isiamuliwe haraka-haraka kamwe kwamba ni lazima sikuzote maneno hayo yanamaanisha mtu yuleyule. Kutoa sababu kwa njia hiyo kunaweza kumfanya mtu aamue kwamba Nebukadneza alikuwa Yesu Kristo, kwa sababu wote wawili waliitwa “mfalme wa wafalme” (Dan. 2:37; Ufu. 17:14) na kwamba wanafunzi wa Yesu kwa hakika walikuwa ni Yesu Kristo, kwa sababu hao na pia Yesu waliitwa “nuru ya ulimwengu.” (Mt. 5:14; Yoh. 8:12) Sikuzote tunapaswa kuchunguza muktadha na maandiko mengine katika Biblia ambapo maneno hayohayo hupatikana.

Mafungu kutoka Maandiko ya Kiebrania ambayo yanamhusu Yehova lakini ambayo waandikaji wa Biblia walioongozwa na roho waliyatumia kumhusu Yesu Kristo
Kwa nini andiko la Yohana 1:23 linanukuu Isaya 40:3 na kulitumia kuhusu yale ambayo Yohana Mbatizaji alifanya katika kumtayarishia Yesu Kristo njia, hali andiko la Isaya 40:3 kwa wazi linazungumzia kutayarisha njia mbele za Yehova? Kwa sababu Yesu alimwakilisha Baba yake. Alikuja katika jina la Baba yake naye alihakikishiwa kwamba sikuzote Baba yake alikuwa pamoja naye kwa sababu alifanya mambo yaliyompendeza Baba yake.—Yoh. 5:43; 8:29.

Kwa nini andiko la Waebrania 1:10-12 linanukuu Zaburi 102:25-27 na kuyatumia kumhusu Mwana, hali zaburi hiyo husema kwamba yalielekezwa kwa Mungu? Kwa sababu Mungu alifanya kazi za uumbaji zinazosimuliwa humo na mtunga-zaburi kupitia Mwana. (Ona Wakolosai 1:15, 16; Methali 8:22, 27-30.) Kumbuka kwamba katika Waebrania 1:5b nukuu limetolewa katika 2 Samweli 7:14 na kutumiwa kumhusu Mwana wa Mungu. Ingawa andiko hilo lilimhusu kwanza Sulemani, linapotumiwa baadaye kumhusu Yesu Kristo halimaanishi kwamba Sulemani na Yesu ni mtu mmoja. Yesu ni “mkubwa kuliko Sulemani” naye anafanya kazi iliyofananishwa mapema na ile ya Sulemani.—Luka 11:31.
Maandiko yanayotaja Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu pamoja

Andiko la Mathayo 28:19 na la 2 Wakorintho 13:14 ni mifano ya maandiko hayo. Hakuna moja la maandiko hayo linalosema kwamba Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu wanalingana au wote ni wa milele au kwamba wote ni Mungu. Uthibitisho wa Kimaandiko ambao tayari umetolewa katika ukurasa wa 370-374 unapinga kutia mawazo hayo katika maandiko hayo.
Kichapo Cyclopedia of Biblical, Theological, and Ecclesiastical Literature cha McClintock na Strong, ingawa kinaunga mkono fundisho la Utatu, kinakubali hivi kuhusu Mathayo 28:18-20: “Hata hivyo, andiko hili likichukuliwa peke yake, halingethibitisha kabisa utu wa wale watu wanaotajwa, wala usawa wala uungu wao.” (chapa ya 1981, Buku la 10, uku. 552) Kuhusu maandiko mengine ambayo pia hutaja hao watatu pamoja, Cyclopedia hii inakubali kwamba, yakichukuliwa peke yake, “hayatoshi” kuthibitisha Utatu. (Linganisha na 1 Timotheo 5:21, ambapo Mungu na Kristo na malaika hutajwa pamoja.)

Maandiko ambamo wingi wa majina hutumiwa kumhusu Mungu katika Maandiko ya Kiebrania
Katika Mwanzo 1:1 jina “Mungu” linatafsiriwa kutoka ’Elo·himʹ, ambalo ni jina la wingi katika Kiebrania. Wana-Utatu huelewa hilo kuwa linamaanisha Utatu. Wao pia husema kwamba andiko la Kumbukumbu la Torati 6:4 linamaanisha watu walio katika Utatu ni mtu mmoja linaposema “BWANA, Mungu [kutoka ’Elo·himʹ] wetu, BWANA ndiye mmoja.”

Wingi wa jina lililotumiwa hapa katika Kiebrania ni wingi wa fahari au utukufu. (Ona NAB, St. Joseph Edition, Bible Dictionary, uku. 330; pia, New Catholic Encyclopedia, 1967, Buku la 5, uku. 287.) Neno hilo halitoi wazo lolote la wingi wa watu katika mungu mmoja. Vivyo hivyo, katika Waamuzi 16:23 wakati Dagoni mungu wa uwongo anapotajwa, jina ’elo·himʹ linatumiwa; kitenzi kinachofuata ni cha umoja, kuonyesha kwamba jina hilo ni la mungu huyo mmoja tu. Katika Mwanzo 42:30, Yosefu anaitwa “bwana” (’adho·nehʹ, wingi wa utukufu) wa Misri.

Lugha ya Kigiriki haina ‘wingi wa fahari au utukufu.’ Kwa hiyo, katika Mwanzo 1:1 watafsiri wa Septuajinti walitumia ho The·osʹ (jina Mungu, katika umoja) kuwa jina linalolingana na ’Elo·himʹ. Katika Marko 12:29, ambapo Yesu anatoa jibu akinukuu Kumbukumbu la Torati 6:4, jina la Kigiriki ho The·osʹ katika umoja limetumiwa vilevile.

Katika Kumbukumbu la Torati 6:4, maandishi ya Kiebrania yana zile Herufi Nne mara mbili, na hivyo yanafaa yaseme hivi: “Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja.” (NW) Taifa la Israeli, lililoambiwa maneno hayo, halikuamini Utatu. Wababiloni na Wamisri waliabudu miungu ya utatu-utatu, lakini Waisraeli waliambiwa wazi kwamba Yehova ni tofauti.

Maandiko ambayo mtu anaweza kuyaelewa kwa njia kadhaa, ikitegemea tafsiri ya Biblia anayotumia
Ikiwa fungu linaweza kutafsiriwa kisarufi kwa njia zaidi ya moja, tafsiri sahihi ni gani? Ni ile inayopatana na sehemu nyingine za Biblia. Mtu akipuuza sehemu nyingine za Biblia na kutegemeza imani yake juu ya tafsiri anayoipenda zaidi ya mstari fulani, basi yale anayoamini kwa kweli huonyesha, si Neno la Mungu, bali mawazo yake mwenyewe na labda yale ya mwanadamu mwingine asiyekamilika.
Yohana 1:1, 2:

UV husema hivi: “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.” (BHN, VB, NAJ, ZSB hutumia maneno yanayokaribia kufanana na hayo.) Hata hivyo, NW husema hivi: “Hapo mwanzo Neno alikuwako, na Neno alikuwa pamoja na Mungu, na Neno alikuwa mungu. Hapo mwanzo huyo alikuwa pamoja na Mungu.”

Ni tafsiri gani ya Yohana 1:1, 2 inayopatana na mistari inayofuata? Andiko la Yohana 1:18 linasema: “Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote.” Mstari wa 14 unasema waziwazi kwamba “Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake.” Pia, mstari wa 1 na 2 husema kwamba hapo Mwanzo yeye alikuwako “kwa Mungu.” Je, mtu anaweza kuwa kwa mtu fulani na wakati huohuo awe ndiye mtu huyo? Katika Yohana 17:3, Yesu anamwita Baba “Mungu wa pekee wa kweli”; kwa hiyo, Yesu akiwa “mungu” huonyesha tu sifa za kimungu za Baba yake.—Ebr. 1:3.

Je, tafsiri “mungu” inapatana na kanuni za sarufi ya Kigiriki? Vitabu fulani vya marejeo hudai kwa nguvu kwamba maandishi ya Kigiriki lazima yatafsiriwe, “Neno alikuwa Mungu.” Lakini si wote wanaokubali hivyo. Katika makala yake “Qualitative Anarthrous Predicate Nouns: Mark 15:39 and John 1:1,” Philip B. Harner alisema kwamba vifungu kama kile katika Yohana 1:1, vyenye “maneno yasiyo na kibainishi yanayotangulia kitenzi, kwa msingi vinaonyesha sifa. Vinaonyesha kwamba logos ni kama theos.” Yeye anapendekeza hivi: “Labda kifungu hicho kinaweza kutafsiriwa, ‘Neno alikuwa kama Mungu.’” (Journal of Biblical Literature, 1973, uku. 85, 87) Kwa hiyo, ni jambo muhimu kwamba katika andiko hilo, katika sentensi ya Kigiriki, jina la pili the·os halina kibainishi (ho) na limewekwa kabla ya kitenzi. Kwa kupendeza, watafsiri wanaoshikilia kwamba andiko la Yohana 1:1 litafsiriwe “Neno alikuwa Mungu,” hawasiti kutumia kibainishi kisicho dhahiri wanapotafsiri mafungu mengine yenye maneno ya jina la umoja lisilo na kibainishi linalotukia kabla ya kitenzi. Kwa hiyo, katika andiko la Yohana 6:70, UV na ZSB zote humwita Yuda Iskariote “shetani” na katika Yohana 9:17 zinamwita Yesu “nabii.”

John L. McKenzie, S.J., anasema hivi katika Dictionary of the Bible: “Andiko la Yohana 1:1 linapaswa kutafsiriwa kabisa ‘neno alikuwa pamoja na Mungu [= Baba], na neno alikuwa wa kimungu.’”—(Mabano ni yake. Kilichapishwa kwa idhini ya haki ya uchapishaji ya Kikatoliki.)—(New York, 1965), uku. 317.
Kupatana na yaliyo juu, AT husema hivi: “Neno alikuwa wa kimungu”; Mo, “Logos alikuwa wa kimungu”; NTIV, “neno alikuwa mungu.
” Katika tafsiri yake ya Kijerumani Ludwig Thimme anatafsiri hivi: “Neno alikuwa Mungu wa namna fulani.” Kumwita Neno (aliyekuja kuwa Yesu Kristo) “mungu” kunapatana na matumizi ya neno hilo katika sehemu nyingine za Maandiko. Kwa mfano, katika Zaburi 82:1-6 waamuzi wanadamu katika Israeli waliitwa “miungu” (Kiebrania, ’elo·himʹ; Kigiriki, the·oiʹ, katika Yohana 10:34) kwa sababu walikuwa wawakilishi wa Yehova nao walipaswa kusema sheria yake.
Ona pia nyongeza ya NW, chapa ya Marejeo ya 1984, uku. 1579.
Yohana 8:58:

UV husema hivi: “Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko [Kigiriki, e·goʹ ei·miʹ].” (ZSB, BHN zote zinasema “mimi niko,” na hata nyingine, kama VB, husema “Ndimi Niliye,” kwa kutumia herufi kubwa ili kutoa wazo la jina. Kwa hiyo zinajaribu kuhusisha maneno hayo na andiko la Kutoka 3:14, ambapo, kulingana na tafsiri yao, Mungu anajiita “MIMI NIKO.”) Hata hivyo, katika NW sehemu hiyo ya mwisho ya Yohana 8:58 husema: “Kabla ya Abrahamu kuwako, mimi nimekuwako.” (Wazo hilohilo linatolewa na maneno katika AT, Mo, CBW, na SE.)

Ni tafsiri gani inayokubaliana na mistari mingine iliyo karibu? Swali la Wayahudi (mstari wa 57) ambalo Yesu alikuwa akijibu lilihusu umri, si utambulisho. Kupatana na akili, jibu la Yesu lilishughulika na umri wake, muda wa kuwako kwake. Jambo linalopasa kuzingatiwa ni kwamba neno e·goʹ ei·miʹ halitumiwi kamwe kuwa jina la roho takatifu.

Kichapo A Grammar of the Greek New Testament in the Light of Historical Research, cha A. T. Robertson kinasema hivi: “Sawa na vitenzi vingine, mara nyingine kitenzi [ei·miʹ] hurejelea kuwako, kama ilivyo katika neno [e·goʹ ei·miʹ] (Yoh. 8:58).”—Nashville, Tenn.; 1934, uku. 394.
Ona pia nyongeza ya NW, chapa ya Marejeo ya 1984, uku. 1582, 1583.
Matendo 20:28:

UV husema hivi: “Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.” (ZSB, VB zinatumia maneno kama hayo.) Hata hivyo, katika NW sehemu ya mwisho ya mstari huo husema hivi: “damu ya Mwana wake mwenyewe.” (NAJ, BHN hutumia maneno kama hayo. Ijapokuwa chapa ya 1953 ya RS husema “kwa damu yake mwenyewe,” chapa ya 1971 husema “kwa damu ya Mwana wake mwenyewe.”)
Ni tafsiri gani inayokubaliana na andiko la 1 Yohana 1:7, linalosema: “Damu yake Yesu, Mwana wake [wa Mungu], yatusafisha dhambi yote”? (Ona pia Ufunuo 1:4-6.) Kama ilivyoandikwa katika Yohana 3:16, je, Mungu alimtuma Mwana wake mzaliwa-pekee, au je, yeye mwenyewe alikuja akiwa mwanadamu, ili tupate uzima? Damu iliyomwagwa si ya Mungu bali ni ya Mwana wake.
Ona pia nyongeza ya NW, chapa ya Marejeo ya 1984, uku. 1580.
Waroma 9:5:

UV husema hivi: “Ambao mababu ni wao, na katika hawa alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina.” (ZSB, VB husema sawa na hivyo.) Hata hivyo, katika NW sehemu ya mwisho ya mstari huo husema hivi: “ambao Kristo alitoka kwao kulingana na mwili: Mungu, aliye juu ya wote, abarikiwe milele. Amina.” (BHN hutumia maneno yanayofanana na NW.)

Je, mstari huo unasema kwamba Kristo yuko “juu ya mambo yote” na kwa hiyo yeye ni Mungu? Au je, unaonyesha kwamba Mungu na Kristo ni watu mbalimbali na kusema kwamba Mungu yuko “juu ya mambo yote”? Ni tafsiri gani ya Waroma 9:5 inayokubaliana na Waroma 15:5, 6, ambayo kwanza humtofautisha Mungu na Kristo Yesu, kisha humsihi msomaji “kumtukuza Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo”? (Ona pia 2 Wakorintho 1:3 na Waefeso 1:3.)
 Fikiria yanayofuata katika Waroma sura ya 9. Mstari wa 6-13 huonyesha kwamba kutimizwa kwa kusudi la Mungu hakutegemei urithi kulingana na mwili bali mapenzi ya Mungu. Mstari wa 14-18 hutaja ujumbe wa Mungu kwa Farao, kama ulivyoandikwa katika Kutoka 9:16, ili kukazia kwamba Mungu yuko juu ya wote. Katika mstari wa 19-24 ukuu wa Mungu unaonyeshwa zaidi kwa kutumia mfano wa mfinyanzi na vyombo vya udongo anavyotengeneza. Basi, maneno haya yanafaa kama nini katika mstari wa 5: “Mungu, aliye juu ya wote, abarikiwe milele. Amina”!—NW.

The New International Dictionary of New Testament Theology hueleza hivi: “Andiko la Waroma 9:5 hubishaniwa. . . . Ingekuwa rahisi, na ingewezekana kabisa kisarufi kuyatumia maneno hayo kumhusu Kristo. Ndipo mstari huo ungesema hivi, ‘Kristo aliye Mungu juu ya wote, abarikiwe milele. Amina.’ Hata hivyo, Kristo hangelinganishwa kabisa na Mungu, bali angesimuliwa tu kuwa wa kimungu, kwa maana neno hili theos halina kibainishi. . . . Maelezo yanayofaa zaidi ni kwamba maneno hayo ni sifa inayoelekezwa kwa Mungu.”—(Grand Rapids, Mich.; 1976), kilichotafsiriwa kutoka Kijerumani, Buku la 2, uku. 80.

Ona pia nyongeza ya NW, chapa ya Marejeo ya 1984, uku. 1580, 1581.
Wafilipi 2:5, 6:
UV husema hivi: “Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho.” (VB inasema sawa na hivyo. BHN husema hivi: “hakufikiri kwamba kule kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kung’ang’ania kwa nguvu.”) Hata hivyo, katika NW sehemu ya mwisho ya fungu hilo husema hivi: “ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu, hakufikiria kufanya unyakuzi [Kigiriki, har·pag·monʹ], yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.”)

Ni wazo gani linalokubaliana na muktadha? Mstari wa 5 huwashauri Wakristo wamwige Kristo katika jambo linalozungumziwa hapa. Je, wangesihiwa wafikirie kwamba wana haki ya “kung’ang’ania kwa nguvu” ili “kuwa sawa na Mungu”? Bila shaka sivyo! Hata hivyo, wanaweza kumwiga yule ambaye “hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.” (NW) (Linganisha na Mwanzo 3:5.) Tafsiri hiyo inakubaliana pia na Yesu Kristo mwenyewe, aliyesema: “Baba ni mkuu kuliko mimi.”—Yoh. 14:28.

The Expositor’s Greek Testament husema: “Hatuoni fungu lolote ambapo neno [har·paʹzo] au maneno mengine yoyote yanayotokana nalo [kutia ndani har·pag·monʹ] lina maana ya ‘kuhifadhi,’ ‘kutunza’. Nyakati zote linaonekana kumaanisha ‘kupokonya,’ ‘kunyakua kwa nguvu’. Kwa hiyo hairuhusiki kuacha maana hii ya kweli ‘kukamata’ na kuingia katika ile iliyo tofauti kabisa, ‘kushikamana.’”—(Grand Rapids, Mich.; 1967), kilichohaririwa na W. Robertson Nicoll, Buku la 3, uku. 436, 437.
Wakolosai 2:9:

UV husema hivi: “Katika yeye [Kristo] unakaa utimilifu wote wa Mungu [Kigiriki, the·oʹte·tos], kwa jinsi ya kimwili.” (Wazo kama hilo linatolewa na tafsiri zilizo katika ZSB, VB, BHN.) Hata hivyo, NW husema hivi: “Ni katika yeye kwamba ujazo wote wa sifa ya Mungu hukaa kimwili.” (NAJ husema “ukamilifu wote wa kimungu,” badala ya “utimilifu wa Mungu.” Linganisha na 2 Petro 1:4.)

Ni wazi kwamba si kila mtu anayetoa tafsiri ileile ya Wakolosai 2:9. Lakini ni jambo gani linalokubaliana na sehemu nyingine za barua hiyo iliyoongozwa na roho ambayo Wakolosai waliandikiwa? Je, Kristo alikuwa na jambo fulani ndani yake mwenyewe lililo lake kwa sababu yeye ni Mungu, sehemu ya Utatu? Au je, “ujazo” unaokaa ndani yake ni kitu ambacho kilikuja kuwa chake kwa sababu ya uamuzi wa mtu mwingine? Andiko la Wakolosai 1:19 (UV, VB) linasema kwamba utimilifu wote hukaa katika Kristo kwa sababu “Mungu ametaka” iwe hivyo. BHN husema kwamba “Mungu alipenda.”

Fikiria mistari inayotangulia andiko la Wakolosai 2:9: Katika mstari wa 8, wasomaji wanaonywa wasipotoshwe na wale wanaotetea falsafa na mapokeo ya wanadamu. Pia wanaambiwa kwamba ndani ya Kristo “hazina zote za hekima na maarifa zimesitirika” nao wanasihiwa ‘waenende katika yeye’ na kuwa ‘wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; wamefanywa imara kwa imani.’ (Mstari wa 3, 6, 7) “Utimilifu” wenye thamani unakaa ndani yake, wala si ndani ya waanzilishi au walimu wa falsafa ya wanadamu. Je, katika andiko hilo mtume Paulo alikuwa akisema kwamba “utimilifu” uliokuwa ndani ya Kristo ulimfanya Kristo awe Mungu mwenyewe? Sivyo kulingana na Wakolosai 3:1, ambapo Kristo husemwa kuwa “ameketi mkono wa kuume wa Mungu.”—Ona UV, BHN, VB, NAJ, ZSB.

Kulingana na Greek-English Lexicon, ya Liddell na Scott, neno the·oʹtes (jina linalotokeza the·oʹte·tos) humaanisha “uungu, asili ya kimungu.” (Oxford, 1968, uku. 792) Kwa kweli “uungu,” au kuwa wa “asili ya kimungu,” hakumfanyi Yesu Mwana wa Mungu awe sawa na awe wa umilele kama Baba, kama vile ambavyo wanadamu wote kushiriki “ubinadamu” au “asili ya kibinadamu” hakumaanishi kwamba wanalingana na wote ni wa umri mmoja.
Tito 2:13:

UV husema hivi: “Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo wetu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu.” (Maneno kama hayo yanapatikana katika ZSB, VB, BHN, NAJ.) Hata hivyo, NW husema hivi: “tukilingojea tumaini la furaha na kufunuliwa kwenye utukufu kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Kristo Yesu.”
Ni tafsiri gani inayokubaliana na Tito 1:4, linalosema “Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Mwokozi wetu”? Ijapokuwa Maandiko pia humwita Mungu kuwa Mwokozi, andiko hili linaonyesha tofauti iliyo wazi kati ya yeye na Kristo Yesu, yule ambaye Mungu huandaa wokovu kupitia yeye.

Wengine hudai kwamba andiko la Tito 2:13 huonyesha kwamba Kristo ni Mungu na pia Mwokozi. Kwa kupendeza, UV, BHN, VB, ZSB hutafsiri Tito 2:13 kwa njia ambayo huenda ikaeleweka kwamba inaruhusu maoni hayo, lakini hazifuati kanuni ileile zinapotafsiri 2 Wathesalonike 1:12. Henry Alford, katika The Greek Testament, asema hivi: “Maoni yangu ni kwamba [tafsiri inayotofautisha waziwazi Mungu na Kristo, katika Tito 2:13] hutosheleza matakwa yote ya kisarufi ya sentensi hiyo: kwamba kulingana na muundo na pia muktadha inaelekea zaidi kuwa hivyo, na inakubaliana zaidi na njia ya kuandika ya Mtume.”—(Boston, 1877), Buku la 3, uku. 421.

Ona pia nyongeza ya NW, chapa ya Marejeo ya 1984, uku. 1581, 1582.
Waebrania 1:8:
NAJ husema hivi: “Lakini kuhusu Mwana, anasema; ‘Kiti chako cha enzi, Wewe Mungu, kitadumu milele na milele.” (UV, ZSB, VB, BHN zina tafsiri zinazofanana na hiyo.) Hata hivyo, NW husema hivi: “Lakini kumhusu Mwana: ‘Mungu ni kiti chako cha ufalme milele na milele.’”
Ni tafsiri gani inayopatana na mistari iliyo karibu? Mistari inayotangulia husema kwamba Mungu ndiye anayesema, si kwamba yeye ndiye anayeambiwa; na mstari unaofuata unatumia maneno “Mungu, Mungu wako,” kuonyesha kwamba yeye anayeambiwa siye Mungu Aliye Juu Zaidi bali ni mwabudu wa Mungu huyo. 

Andiko la Waebrania 1:8 linanukuu Zaburi 45:6, ambalo hapo mwanzo lilielekezwa kwa mfalme wa kibinadamu wa Israeli. Kwa wazi, mwandikaji wa Biblia wa Zaburi hiyo hakufikiri kwamba mfalme huyo wa kibinadamu alikuwa ni Mungu Mweza-Yote. Badala yake, Zaburi 45:6, katika BHN, husema “Kiti chako cha enzi chadumu milele kama cha Mungu.” Sulemani, ambaye labda ndiye mfalme ambaye hapo kwanza alizungumziwa katika Zaburi 45, alisemwa kuwa ameketi “juu ya kiti cha ufalme cha Yehova.” (1 Nya. 29:23, NW) Kupatana na uhakika wa kwamba Mungu ndiye “kiti cha ufalme,” au Chanzo na Mtegemezaji wa ufalme wa Kristo, Danieli 7:13, 14 na Luka 1:32 huonyesha kwamba Mungu humpa yeye mamlaka hiyo.

Andiko la Waebrania 1:8, 9 linanukuu Zaburi 45:6, 7, ambayo msomi wa Biblia B. F. Westcott anasema hivi kuihusu: “Septuajinti inakubali tafsiri mbili: neno [ho the·osʹ] linaweza kuchukuliwa kuwa linamaanisha mtu anayeambiwa katika visa vyote viwili (kiti chako cha enzi, Mungu, . . . kwa hiyo MUNGU, Mungu wako . . . ) au linaweza kuchukuliwa kuwa mtu anayesema (au mtu 
anayezungumziwa) katika kisa cha kwanza (Mungu ni kiti Chako cha enzi, au Kiti chako cha enzi ni Mungu . . . ), na katika usawa na [ho the·osʹ sou] katika kisa cha pili (Kwa hiyo Mungu, hata Mungu Wako . . . ). . . . Haiwezekani kabisa kwamba neno [’Elo·himʹ] katika maandishi ya kwanza linaweza kuelekezwa kwa mfalme. Basi ukweli ni kinyume cha ile imani kwamba neno [ho the·osʹ] linamaanisha yule anayezungumziwa katika Septuajinti. Kwa ujumla inaonekana inafaa zaidi kufuata katika fungu la kwanza tafsiri hii: Mungu ni kiti Chako cha ufalme (au, kiti Chako cha ufalme ni Mungu), yaani ‘Mungu, Mwamba imara, ndiye msingi wa kiti chako.’”—The Epistle to the Hebrews (London, 1889), uku. 25, 26.
1 Yohana 5:8, 9:

UV husema hivi: “Kwa maana wako watatu washuhudiao [mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja. Kisha wako watatu washuhudiao duniani], Roho, na maji, na damu; na watatu hawa hupatana kwa habari moja.” (ZSB, VB (5:7, 8) pia zina fungu hilo la Utatu.) Hata hivyo, NW haina maneno “mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja. Kisha wako watatu washuhudiao duniani.” (BHN, NAJ pia hazina fungu hilo la Utatu.)

Kuhusu fungu hilo la Utatu, mchambuzi wa maandishi F. H. A. Scrivener aliandika: “Hatusiti kutangaza usadikisho wetu kwamba maneno hayo yanayobishaniwa hayakuandikwa na Mtakatifu Yohana: kwamba hapo kwanza yaliingizwa katika nakala za Kilatini katika Afrika kutoka pembeni, ambapo yalikuwa yamewekwa kama nyongeza isiyo ya kweli katika mstari wa 8: kwamba kutoka Kilatini yaliingia kisiri katika vitabu viwili au vitatu vya Kigiriki vya baadaye, na kisha katika maandishi ya Kigiriki yaliyochapwa, mahali ambapo hayakuwa na haki ya kuwapo.”—A Plain Introduction to the Criticism of the New Testament (Cambridge, 1883, chapa ya tatu), uku. 654.

Ona pia nyongeza ya NW, chapa ya Marejeo ya 1984, uku. 1580.
Maandiko mengine ambayo Wana-Utatu husema yana habari zinazounga mkono fundisho lao
Ona kwamba andiko la kwanza kati ya hayo humtaja Mwana peke yake; lingine humtaja Baba na pia Mwana; hakuna linalomtaja Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu na kusema kwamba wao ni Mungu mmoja.
Yohana 2:19-22: Kutokana na yale aliyosema katika andiko hili, je, Yesu alimaanisha kwamba angejifufua mwenyewe kutoka kwa wafu? Je, hilo linamaanisha kwamba Yesu ni Mungu, kwa sababu andiko la Matendo 2:32 linasema, “Yesu huyo Mungu alimfufua”? Sivyo hata kidogo. Maoni hayo yangepingana na andiko la Wagalatia 1:1, linalosema kwamba Baba ndiye aliyemfufua Yesu, wala si Mwana. Akitumia maneno kama hayo,
 Yesu ananukuliwa katika andiko la Luka 8:48 akimwambia hivi mwanamke mmoja: “Imani yako imekuponya.” Je, mwanamke huyo alijiponya mwenyewe? Sivyo; ni nguvu kutoka kwa Mungu ndizo zilizomponya kwa sababu alikuwa na imani. (Luka 8:46; Mdo. 10:38) Vivyo hivyo, kwa utii wake mkamilifu akiwa mwanadamu, Yesu aliandaa msingi wa kiadili kwa ajili ya Baba kumfufua kutoka kwa wafu, hivyo akimkiri Yesu kuwa Mwana wa Mungu. Kwa sababu Yesu aliishi maisha ya uaminifu, ingeweza kusemwa kwa kufaa kwamba Yesu mwenyewe alikuwa na daraka kwa ajili ya kufufuliwa kwake.

A. T. Robertson anasema katika Word Pictures in the New Testament: “Kumbuka andiko la [Yohana] 2:19 ambapo Yesu alisema: ‘Nami katika siku tatu nitalisimamisha.’ Yeye hakumaanisha kwamba atajifufua mwenyewe kutoka kwa wafu bila kumtegemea Baba akiwa mfufuaji. (Rom. 8:11).”—(New York, 1932), Buku la 5, uku. 183.
Yohana 10:30:
Wakati aliposema, “Mimi na Baba tu umoja,” je, Yesu alimaanisha kwamba wanalingana? Wana-Utatu fulani husema kwamba alimaanisha hivyo. Lakini katika andiko la Yohana 17:21, 22, Yesu alisali hivi kuhusu wafuasi wake: “Wote wawe na umoja,” na kuongezea, “ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja.” Alitumia neno lilelile la Kigiriki (hen) kwa ajili ya “umoja” katika visa hivyo vyote. Kwa wazi, wanafunzi wa Yesu hawawi wote sehemu ya Utatu. Bali wanakuwa na umoja wa kusudi pamoja na Baba na Mwana, umoja uleule unaomuunganisha Mungu na Kristo.
Wale wanaoshikilia fundisho la Utatu wanajiweka katika hali gani?
Wanajiweka katika hatari kubwa. Uthibitisho unaonyesha waziwazi kwamba fundisho la Utatu halipatikani katika Biblia, wala halipatani na yale ambayo Biblia hufundisha. (Ona kurasa zilizotangulia.) Fundisho hilo linapotosha kabisa ukweli kumhusu Mungu wa kweli. Yesu Kristo alisema: “Saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.” (Yoh. 4:23, 24, UV) Kwa hiyo Yesu alionyesha wazi kwamba wale ambao ibada yao si ‘katika kweli,’ ambayo haipatani na kweli iliyoandikwa katika Neno la Mungu mwenyewe, wao si ‘waabudu halisi.’ Yesu aliwaambia hivi viongozi wa kidini Wayahudi wa karne ya kwanza:
 “Mkalitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu. Enyi wanafiki, ni vema alivyotabiri Isaya kwa habari zenu, akisema, Watu hawa huniheshimu kwa midomo; ila mioyo yao iko mbali nami. Nao waniabudu bure, wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu.” (Mt. 15:6-9, UV) Jambo hilo linawahusu vivyo hivyo washiriki wa Jumuiya ya Wakristo leo ambao huunga mkono mapokeo ya wanadamu badala ya kweli zilizo wazi za Biblia.
Kuhusu Utatu, ile Imani ya Athanasia (katika Kiingereza) husema kwamba washiriki wake “hawawezi kufahamika.” Walimu wa fundisho hilo mara nyingi husema kwamba ni “fumbo.” Kwa wazi Mungu huyo wa Utatu si yule ambaye Yesu alimaanisha aliposema: “Sisi tunaabudu tukijuacho.” (Yoh. 4:22, UV) Je, wewe kweli unamjua Mungu unayemwabudu?
Kila mmoja wetu anakabiliwa na maswali mazito: Je, tunaipenda kweli kwa moyo mnyoofu? Je, kweli tunataka uhusiano unaokubaliwa pamoja na Mungu? Si kila mtu anayeipenda kweli kwa moyo mnyoofu. Wengi wanatanguliza kupata kibali cha watu wao wa ukoo na washiriki wao badala ya kupenda kweli na kumpenda Mungu. (2 The. 2:9-12; Yoh. 5:39-44) Lakini, kama Yesu alivyosema katika sala kwa Baba yake wa mbinguni: “Uzima wa milele ndio huu, waendelee kupata ujuzi juu yako wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na juu ya yule uliyemtuma, Yesu Kristo.” (Yoh. 17:3, NW) Na andiko la Zaburi 144:15 husema kikweli hivi: “Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova!”—NW.
Mtu Akisema—
‘Unaamini Utatu?’
Unaweza kujibu hivi: ‘Watu wengi sana huamini fundisho hilo leo. Lakini unajua kwamba Yesu na wanafunzi wake hawakufundisha Utatu? Kwa hiyo, sisi tunamwabudu Yule ambaye Yesu alisema tumwabudu.’ Kisha unaweza kuongezea: (1) ‘Yesu alipokuwa akifundisha, hii ndiyo amri aliyosema ni kuu kuliko zote . . . (Marko 12:28-30).’ (2) ‘Yesu hakudai kamwe kwamba yeye ni sawa na Mungu. Alisema . . . (Yoh. 14:28).’ (3) ‘Basi, fundisho la Utatu lilitoka wapi? Ona yale ambayo ensaiklopedia mashuhuri zinasema kuhusu jambo hilo. (Ona ukurasa wa 367, 368.)’
Au unaweza kusema: ‘Hapana, mimi siamini fundisho hilo. Kumbuka kwamba kuna maandiko ya Biblia ambayo siwezi kuyapatanisha kamwe na fundisho hilo. Moja la maandiko hayo ni hili. (Mt. 24:36) Labda unaweza kunieleza.’ Kisha unaweza kuongezea: (1) ‘Ikiwa Mwana analingana na Baba, kwa nini Baba anajua mambo fulani ambayo Mwana hajui?’ Wakijibu kwamba hali ilikuwa hivyo tu kuhusu hali yake ya kibinadamu, ndipo uliza hivi: (2) ‘Lakini kwa nini roho takatifu haijui?’ (Mtu huyo akionyesha kuipenda kweli kwa moyo mnyoofu, mwonyeshe yale ambayo Maandiko yanasema kumhusu Mungu. [Zab. 83:18; Yoh. 4:23, 24])
Pia unaweza kusema: ‘Sisi tunamwamini Yesu Kristo lakini hatuamini Utatu. Kwa nini? Kwa sababu tunaamini yale ambayo mtume Petro aliamini kumhusu Kristo. Ona yale aliyosema . . . (Mt. 16:15-17).’
Pendekezo lingine: ‘Nimeona kwamba watu wanaposema kuhusu Utatu, wana maoni mbalimbali kuhusu fundisho hilo. Labda ninaweza kulijibu swali lako vizuri zaidi nikijua unachomaanisha.’ Kisha unaweza kuongezea: ‘Asante kwa maelezo hayo. Lakini mambo ninayoamini ni yale tu ambayo Biblia hufundisha. Je, umewahi kuona neno “Utatu” katika Biblia? . . . (Rejelea konkodansi katika Biblia yako.) Lakini je, Kristo anatajwa katika Biblia? . . . Ndiyo, nasi tunamwamini. Ona hapa katika konkodansi chini ya “Kristo” kwamba mojawapo ya marejeo ni andiko la Mathayo 16:16. (Lisome.) Hilo ndilo ninaloamini.’
Au unaweza kujibu hivi: (ikiwa mtu anataja kihususa andiko la Yohana 1:1): ‘Naujua mstari huo. Tafsiri fulani za Biblia husema kwamba Yesu ni “Mungu,” na nyingine husema kwamba yeye ni “mungu.” Kwa nini hivyo?’ (1) ‘Je, labda ni kwa sababu mstari unaofuata unasema kwamba yeye alikuwa “pamoja na Mungu”?’ (2) ‘Je, labda pia ni kwa sababu ya yale yanayopatikana hapa katika Yohana 1:18?’ (3) ‘Je, umewahi kujiuliza ikiwa Yesu mwenyewe humwabudu mwingine akiwa Mungu? (Yoh. 20:17)’
Mchungaji ;- Lameck
Simu :- 0784556460
Arusha Tanzania


ROHO MTAKATIFU - AKIPINDI CHA KWANZA

Roho Mtakatifu - kipindi cha kwanza
Pastor Lameck Stephen

Watu wengi wanamjua Roho Mtakatifu. Watu wanaosoma Biblia, wanajua mambo mengi kumhusu Roho. Jina hili hutajwa mara nyingi katika Biblia. Linatajwa katika Agano Jipya na Agano la Kale pia.
Biblia inatumia majina mbalimbali inapozungumzia Roho Mtakatifu. Sasa tunatumia jina: Roho Mtakatifu. Biblia inatumia pia majina: Roho ya Mungu, Roho, Roho ya Kristo na majina mengine pia.
Mungu alimwaga Roho yake sikukuu ya Pentekoste Yerusalemu. Na pia siku ile ile wakati wa Roho Mtakatifu ulianza. Kabla ya sikukuu ya Pentekoste ulikuwa wakati wa Baba Mungu na pia wakati wa Mwana wa Mungu, yaani wakati wa Yesu Kristo. Katika sikukuu ya Pentekoste ulianza wakati wa Roho Mtakatifu. Sasa tunaishi wakati ule.

Wakati wa Pasaka Yesu alikufa msalabani kufanya upatanisho tayari. Baada ya hayo alifufuka katika wafu akiwatokea wanafunzi wake katika siku arobaini. Aliwatokea mara chache. Kabla ya kuinuliwa mbinguni alizungumza pamoja na wanafunzi wake. Aliwaagiza wanafunzi kumngojea Roho Mtakatifu.
4. Hata alipokuwa amekutana nao aliwaagiza wasitoke Yerusalemu, bali waingoje ahadi ya Baba, ambayo mlisikia habari zake kwangu; 5. ya kwamba Yohana alibatiza kwa maji, bali ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu baada ya siku hizi chache. (MDO 1:4,5)
Yesu aliwaambia: wasitoke Yerusalemu, bali waingoje Roho Mtakatifu atawajaza. Wanafunzi walifanya kama Yesu alivyowaagiza na walimngojea siku kumi. Halafu Roho alifika hapa duniani kama Yesu alivyowaahidi. Baada ya hayo Roho Mtakatifu amekaa hapa duniani kufanya kazi tangu sikukuu ya Pentekoste mpaka leo.
Kazi zake zimeendelea kama miaka elfu mbili. Wakati mwingine Roho Mtakatifu amefanya kazi pole pole. Siku hizi Mungu anawabatiza watu wengi katika Roho yake. Katika makanisa machache watu wanaojazwa na Roho wanapingwa. Wamepata karama ya Roho lakini watu wengi hawakuwaelewa wanasema kwamba ambao wamejazwa na Roho wamepotea na wamepata roho mbaya.
Pia makanisa mengi yanafundisha: "Karama za Roho Mtakatifu zilikuwa kwa ajili ya kanisa la mwanzo. Siku hizi zawadi hazifanyi kazi tena". Yanasema hivi. Lakini siyo kweli. Sisi katika kanisa la Pentekoste tunafundisha: Leo watu wanaweza kujazwa na Roho. Leo ni wakati wa Roho Mtakatifu.
Kama miaka mia moja iliyopita watu waliojazwa na Roho, walilazimishwa kuondoka kanisani. Halafu walianza kukusanyika pamoja kuomba na kuimba pamoja na baadaye walianzisha makanisa mapya. Hivi ndivyo makanisa ya Kipentekoste yalivyoanzishwa.
Siku hizi makanisa ya Kipentekoste yanakua sana duniani. Duniani kuna wa Pentekoste kama milioni mia tatu au zaidi.
Ujumbe wa Roho Mtakatifu umetokea katika makanisa mengi, siyo makanisa ya Kipentekoste tu. Kwanza kwenye makanisa ya Kipentekoste tu watu walihubiri mambo ya Roho Mtakatifu, na watu walijazwa na Roho. Lakini siku hizi katika makanisa mengi watu wanaweza kusikia mahubiri na mafundisho kuhusu Roho Mtakatifu. Katika makanisa mengi watu wanajazwa na Roho siku hizi. Na pia wahubiri wengi wanahubiri mambo ya Biblia katika Roho ya Mungu.
Roho Mtakatifu anataka kufanya kazi siku hizi sawa sawa, kama alivyofanya katika sikukuu ya Pentekoste baada ya Yesu.
Katika kipindi hiki tunasoma mambo yaliyotokea siku hiyo.
1. Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja. 2. Kukaja ghafula toka mbinguni uvumi kama uvumi wa upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote waliyokuwa wameketi. 3. Kukawatokea ndimi zili zogawanyikana, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao. 4. Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka. (MDO 2:1-4)
Pia kabla ya siku hii watu walijazwa na Roho Mtakatifu. Ilitokea pia wakati wa Agano la Kale na wakati wa Yesu pia. Biblia inatueleza jinsi watu wengi walivyojazwa na Roho, lakini ilitokea tofauti, kuliko sikukuu ya Pentekoste na baadaye. Wakati wa Baba Mungu na wakati wa Mwana Yesu watu walipojazwa na Roho Mtakatifu, ilitokea tofauti, kama wakati wa Roho Mtakatifu, ulipoanza sikukuu ya Pentekoste. Watu walipojazwa na Roho wakati wa Mungu au wakati wa Yesu hawakusema kwa lugha nyingine. Hata Yesu hakusema kwa lugha nyingine alipojazwa na Roho baada ya ubatizo wake.
Kwa nini? Kwa sababu bado haukuwa wakati wa kusema kwa lugha. Bado haukuwa wakati wa Roho Mtakatifu. Ulianza katika sikukuu ya Pentekoste.
Wanafunzi walipojazwa na Roho, walianza kusema kwa lugha nyingine. Ilikuwa mara ya kwanza watu waliposema kwa lugha nyingine. Baada ya siku ya Pentekoste watu wengi, watu mamilioni wamesema kwa lugha mpya. Bwana asifiwe!!!!
Biblia inatueleza, kwamba Waisraeli walikuwa na sikukuu tatu kubwa Yerusalemu kila mwaka. Kila mwaka watu wengi walifika Yerusalemu wakati wa sikukuu kubwa. Sikukuu ya kwanza ilikuwa Pasaka. Ya pili ilikuwa Pentekoste. Na ya tatu ilikuwa sikukuu ya Vibanda. Sikukuu ya Vibanda ilikuwa kwa ajili ya wakati watu Waisraeli walipofika toka Misri na waliishi jangwani miaka arobaini na walikaa vibandani wakati huo.
Roho Mtakatifu alihamia duniani siku ya Pentekoste ya kwanza. Lakini siyo kamili. Mungu ni mkubwa. Yesu ni mkubwa. Roho Mtakatifu ni mkubwa, anakaa mahali pote. Biblia inasema: Lakini Mungu je! atakaa kweli kweli juu ya nchi? Tazama, mbingu hazikutoshi, wala mbingu za mbingu… (1FAL 8:27) Lakini ni rahisi zaidi kuelewa, kama nasema: Roho Mtakatifu alihamia duniani siku ya Pentekoste.
Ndipo alianza kufanya kazi hapa duniani. Kabla ya kuhamia alikaa mbinguni, lakini sikukuu ya Pentekoste alihamia hapa. Katika sikukuu ya Pentekoste baada ya kifo cha Yesu na ufufuo wake.
Katika kipindi hiki tunasoma mambo machache kuhusu siku ya kwanza ya kazi yake hapa duniani.
Kwanza wanafunzi walijazwa na Roho Mtakatifu na walianza kusema kwa lugha nyingine. Watu wengi walisikia kama wanafunzi walivyosema kwa lugha nyingine. Kwa sababu sikukuu ya Pentekoste ilikuwa katika Yerusalemu, na ilikuwa sikukuu kubwa huko kulikuwa na watu wengi sana. Labda watu milioni moja walikuwa wamefika katika sikukuu ya Pentekoste Yerusalemu. Wanafunzi waliposema kwa lugha nyingine, sauti zao zilisikika mbali.
Pia sisi tunapoomba wakati wa kuomba ibadani tunaweza kusema kwa lugha nyingine kwa sauti.
Watu walikusanyika wengi sana. Walishangaa na walisema: “Hili ni jambo gani?” Watu wote hawakusikia kabla ya huku kusema kwa lugha nyingine.
Wanafunzi waliposema kwa lugha hawakuelewa lugha waliyosema, lakini wasikilizaji wachache waliielewa. Kwa sababu hii wasikilizaji walishangaa sana. Hawakuelewa kusema kwa lugha nyingine ni ina maana gani.
Kwanza wanafunzi walitumia karama ya lugha na watu waliwashangaa waliponena kwa lugha nyingine. Ulikuwa wakati wa kuomba katika mkutano wao na walinena kwa lugha. Baadaye ulianza wakati wa hotuba na waliacha kusema kwa lugha.
Halafu Petro alianza kuhubiri. Kwanza alisoma mistari miwili ya kitabu cha Yoeli. Mistari hii pia ipo katika kitabu cha Matendo ya Mitume, katika sura ya pili.
16. lakini jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yoeli, 17. Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu, nitawamwagia watu wote Roho yangu, na wana wenu na binti zenu watatabiri; na vijana wenu wataona maono; na wazee wenu wataota ndoto. 18. Naam, na siku zile nitawamwagia watumishi wangu wanaume na wanawake Roho yangu, nao watatabiri. (MDO 2:16-18)
Yoeli alitabiri kwamba Mungu atamwaga Roho Mtakatifu. Na ilitokea.
Halafu Petro aliendelea kuhubiri juu ya Kristo. Aliongea kuhusu kifo cha Yesu na ufufuo wake. Na pia alikumbusha mambo machache katika Agano la Kale. Wakati huo hakukuwa na Agano Jipya. Biblia yao ilikuwa Agano la Kale tu.
Tulisoma hotuba ya Petro katika Matendo ya Mitume, sura ya pili. Lakini Biblia inatueleza ufupisho wa hotuba ya Petro. Aliongea mambo mengi zaidi.
37. Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu? (MDO 2:37)
Roho Mtakatifu alifanya kazi mioyoni mwao, waliosikiliza ujumbe wa Petro. Walipomsikiliza Petro, Roho Mtakatifu aliwachoma mioyoni mwao. Wakati mwingine tunafikiri kwamba Roho anaongea na watu ambao wameokoka tu, na siyo ambao hawajaokoka. Lakini siyo kweli, Roho Mtakatifu anaongea na watu wasiookoka pia. Ndiyo kazi ya Roho hapa duniani.
7. Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu. 8. Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu. 9. Kwa habari ya dhambi, kwa sababu hawaniamini mimi; 10. kwa habari ya haki, kwa sababu mimi naenda zangu kwa Baba, wala hamnioni tena; 11. kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa. (YN 16:7-11)
Roho Mtakatifu anaitwa na Yesu kwa jina Msaidizi. Hapa kuna mambo mengi ambayo Roho Mtakatifu anafanya. ...atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.
Roho Mtakatifu ana kazi nyingi pia siku hizi. Anafanya kazi yake katika maisha ya waaminio.
Na katika maisha ya wasioamini pia. Tulisoma katika mstari wa nane kuhusu Roho Mtakatifu: Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.
Roho ananena mioyoni mwa wasiookoka kwamba mtu ni mwenye dhambi bila wokovu. Mtu amefanya mambo mengi ya dhambi. Lakini dhambi kubwa mno ni kwa sababu mtu hamwamini Yesu. Kwanza Roho anamwonyesha kwamba mtu ni mwenye dhambi na halafu anamwonyesha haki na neema. Yaani kwamba mtu anaweza kusamehewa.
Kwa kumwamini Yesu, dhambi zinasamehewa.
Roho Mtakatifu anamwonyesha hukumu pia: ... kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu; (EBR 9:27)
Kila mtu atahukumiwa kadri ya matendo yake. Matendo ya watu yanaandikwa katika vitabu vya Mungu huko mbinguni. Kuna matendo mazuri na mabaya pia. Mungu atalipa mshahara kwa watu wanaofanya matendo mazuri. Kwa ajili ya matendo mabaya watu wataadhibiwa.
Watu waliookoka hawataadhibiwa kwa sababu Biblia inasema katika kitabu cha Isaya:
...Na Bwana ameweka juu yake maovu yetu sisi sote. (ISA 53:6)
Yesu alipata adhabu kwa ajili ya dhambi zetu. Mungu alitoa makosa yetu na aliyaweka juu ya Yesu, Yesu alipokuwa msalabani. Yesu aliadhibiwa kwa ajili ya dhambi zetu. Si kwa ajili ya dhambi zake kwa sababu yeye hakuwa na dhambi. Lakini kwa ajili ya dhambi zetu Yesu aliangamizwa.
Kwa ajili hii tutakapofika mbele ya kiti cha enzi cha hukumu katika vitabu vya Mungu hakuna matendo yetu mabaya kwa sababu Mungu amekwisha kuyatoa na ameyaweka juu ya Yesu.
Yesu aliadhibiwa kwa ajili ya dhambi zetu.
Bwana asifiwe!
Lakini kama mtu asipomwamini Yesu, baada ya kufa kwake atapata hukumu ya milele ya Jehanamu.
Hii ni kwa sababu dhambi zinakuwa moyoni mwake na matendo yote yanamngoja katika vitabu vya Mungu. Na atahukumiwa kadri ya matendo yake.
Petro alihubiri huko Yerusalemu na Roho Mtakatifu alifanya kazi mioyoni mwa wasikilizaji. Roho alifanya kazi mioyoni mwa wasikilizaji wakati Petro alipohubiri. Hata mimi ninatumaini kwamba wakati wa mahubiri yangu Roho angefanya kazi yake mioyoni mwa watu wanaonisikiliza. Bila ya Roho Mtakatifu kazi yangu na kuhubiri kwangu ingekuwa bure kabisa.
Petro alipohubiri watu walisikia kwamba Mungu alinena nao kupitia kwa Petro.
Na hivi ndivyo kanisa la kwanza lilivyoanza. Watu waliookoka na kubatizwa walikuwa ndani ya kanisa. Sawa sawa inavyoendelea siku hizi. Kwanza lazima kuokoka na baadaye kubatizwa. Watu wa namna hiyo ni kanisa la Mungu. Watu wote wanakaribishwa kuja katika mikutano ya kanisa lakini mtu akitaka kuwa mshirika wa kanisa lazima kwanza kuokoka na kubatizwa.
Mambo mengi muhimu yalitokea katika sikukuu ya Pentekoste. Siku ile Roho Mtakatifu alianza kukaa hapa duniani na ameendelea mpaka leo. Kazi yake ilipoanza, wafuasi wa Yesu walijazwa na Roho Mtakatifu na walianza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka. Halafu Roho Mtakatifu alianza kufanya kazi yake ndani ya watu wasiookoka. Alifanya kazi yake wakati Petro alipohubiri.
Kazi ya Roho Mtakatifu siyo tu, kwamba watu waseme kwa lugha nyingine.
Kusema kwa lugha nyingine ni muhimu sana na tunakuhitaji.
Roho Mtakatifu anataka kufanya mambo ambayo Yesu anataka. Yesu anataka, kwamba watu wote waokoke. Na kwa ajili hii ametupa kanisa, Biblia na Roho yake. Pia kwa ajili hii ametuita kufanya kazi ya Mungu. Na Yesu anataka kwamba ambao wameokoka waweze kukua katika roho.
Roho Mtakatifu anafanya kazi pia ndani ya watu wanaomwamini Yesu.
26. Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia. (YN 14:26)
Yesu alitumia jina Msaidizi. Sisi tunahitaji kwamba Msaidizi atusaidie kila siku. Yesu alisema pia kwamba Roho Mtakatifu anatufundisha yote, na kutukumbusha yote ambayo Yesu ametuambia. Sasa Roho anatufundisha na kutukumbusha mambo ya Biblia. Tunaposoma Biblia au kuomba, Roho anatufundisha.
26. Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia. (YN 15:26)
Tulisoma Yesu alisema: Roho wa kweli.
Tunajua kwamba Roho Mtakatifu anasema kweli.
Yesu alisema pia: yeye atanishuhudia.
Roho anamshuhudia Yesu, kwamba Yesu ni upatanisho na anatupenda.
12. Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa. 13. Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake. 14. Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari. 15. Na yote aliyo nayo Baba ni yangu; kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu, na kuwapasheni habari. (YN 16:12-15)
Hapa tunaona mambo mengi ambayo Roho Mtakatifu anafanya katikati ya watu.
Roho anaendeleza kazi ya Yesu.
Tulisoma katika mstari wa kumi na tatu: Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote.
Makanisa yanayokubali kazi ya Roho Mtakatifu na karama zake yanalinganishwa. Roho Mtakatifu ameyaongoza. Lakini makanisa yasiyokubali Roho ni tofauti tofauti. Watu wenyewe wanajaribu kuongoza makanisa bila ya Roho ya Mungu. Lakini wanakosea.
Kwa hiyo tunamhitaji Roho Mtakatifu ayaongoze makanisa yetu, na maisha yetu pia.
Kwa sababu Mungu anatupenda alimpeleka Roho Mtakatifu.
Roho Mtakatifu anatusaidia na kuongoza.

Mungu akubariki wewe usomaye!

by Pastor Lameck 
0757546575